UMUHIMU WA MAJI .
MBOGO ANDIKIRE INSHA YAKE UU:
Siku moja ng’ombe setu silikuwa simenyota sana. Babangu aliniabia nisitware sikanywe maji. Silipofika, silikuta gatangi ka mai kamegaragario. Ng’ombe sikaanza kuania. Sikaania,sikaania, sikaania mpaka babangu akatoka rugongo akakuja kianda.
Akaniuliza “Mbogo, kwanini ng’ombe sinaania hivyo? Nikamwira ni gatangi kamegaragara. Alinichapa sana na ndio nikajua umuhimu wa maji. Mwalimu ni akenirio ni insha iyo na akihe Mbogo marks 16/40. Wewe unaweza shida Mbogo kuadika insha ? Basi washa kusheka waana!
Via email.
-
Archives
- January 2009 (2)
- December 2008 (6)
- November 2008 (14)
- October 2008 (3)
- September 2008 (2)
- June 2008 (1)
- May 2008 (1)
- April 2008 (5)
- March 2008 (7)
- February 2008 (11)
- January 2008 (13)
- December 2007 (13)
-
Categories
-
RSS
Entries RSS
Comments RSS