Kenya Iko Matata!
| Ndugu na dada zangu ee Wakenya mlio karibu hapa na mbali huko, habari nzuri nawaletea. Siku hii ni siku ya furaha kwa kuwa tumefikia wakati ambapo sisi kama Wakenya, twaweza kuungana pamoja na kusaidia kuimarisha maisha ya Wakenya wenzetu.
Hebu tuendelee kupigania haki zetu, kwani mwishowe tutashinda. Pia, tuendelee kufunza majirani wetu undugu na lugha ya Kiswahili. Tujivunie lugha yetu kwa sababu hii ni njia moja ya kuua ukabila. Tuzing’oe mizizi yote ya kikabila yanao turudisha nyuma. Tukilitazama jambo hili, maendeleo ni lazima. Munala wa Munala |
No comments yet.
| Next »
-
Archives
- January 2009 (2)
- December 2008 (6)
- November 2008 (14)
- October 2008 (3)
- September 2008 (2)
- June 2008 (1)
- May 2008 (1)
- April 2008 (5)
- March 2008 (7)
- February 2008 (11)
- January 2008 (13)
- December 2007 (13)
-
Categories
-
RSS
Entries RSS
Comments RSS